Inside this Issue:
Inside this issue: Coraldene sold off: Florence-born Maria Cicali, Italian owner of Lake Naivasha’s Safariland Lodge has bought the Coraldene Beach Hotel at Bamburi, and intends to build a 200-bed high class hotel-the Mandarin Beach; Polcice solve pregnant mystery at border post: The ‘pregnant woman’ could easily be assumed as being normal particularly since she was doning a loose purdan -the Muslim garb porpularly known as “Buibui”; Water shortage hits coast hotels: Hoteliers are very concerned at the water situation along the coast- and shortages have already been experienced by some hotels; Diwani sumba kuchaguliwa tena mayor wa Mombasa:Umati wa madiwani waliochaguliwa Mombasa katika uchanguzi wa madiwani hivi maajuzi umepitisha kura ya Imani kuunga mkono kuchaguliwa kwa Diwani Rajab Sumba kuwa mayor wa Mombasa; Ajali ya ndege:Kadhi mkuu nchini Kenya Sheikh Abdalla Saleh Farsy ametoa mwito kuombewa watu wote walipatikana na ajali na kufariki katika ndege moja ya Pakistan ilioanguka huko nchini Saudi Arabia; Hero rais Moi kwa mawaziri:Baraza la mawaziri la kwanza la serikali ya Nyayo limesifiwa na kupongezwa na wananchi wote pwani; Usawa baina ya mke mume:Mwanamke ni kiumbe binadamu aliyeumbwa kwa umbo adhimu lililorembuliwa kunak-shiwa kwa ustadi mkuu;